a
Eze 36:20
;
22:11
;
Law 18:21
;
20:3
;
Amo 8:4
;
5:11-12
;
Rum 2:24
;
Isa 10:2
Amos 2:7
7
a
Wanakanyaga juu ya vichwa vya maskini,
kama vile juu ya mavumbi ya nchi,
na kukataa haki kwa walioonewa.
Baba na mwanawe hushiriki msichana mmoja,
kwa hivyo hulinajisi Jina langu takatifu.
Copyright information for
SwhNEN